ULE mchezo ambao Ladack Chasambi alijifunga bao ambalo lilikuwa la kusawazisha kwa Fountain Gate dhidi ya Simba ungeweza kuwa mwanzo wa maisha magumu kwa winga huyo mwenye umri wa miaka 20.
DAKIKA 40 ndiyo zitaamua. Ni fainali ya Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Dar es Salaam, kati ya Polisi dhidi ya Stein Warriors ...
SHEFFIELD FC ya England inatambuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kama klabu kongwe kuliko zote duniani ambayo ...
NDIYO maisha yalivyo. Kuna wakati ukifika unajutia mambo yaliyopita. Kuna msemo wa ‘Ujana Maji ya Moto’. Haupo tu, ...
MASHABIKI wengi wa Bongo Fleva wanamkumbuka Best Naso kwa nyimbo zake kali kama Mamu wa Dar (2009) na Narudi Kijijini (2013) ...
WAKATI Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally akitamba kwamba straika wa timu hiyo, Leonel Ateba amechora tattoo ya ...
MWIMBAJI wa muziki wa Bongofleva, Madee amewatolea uvivu watu wanaosema Rayvanny amepotea kimuziki toka atoke Lebo ya WCB.
MWIMBAJI nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya 'AY', amesema hana mpango wa kuingia kwenye siasa licha ya kuonekana yupo karibu na Wana siasa.
KIKOSI cha Yanga kesho jioni kitashuka Uwanja wa KMC Complex katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, lakini kabla ya ...
MWIGIZAJI maarufu kutoka Bongo, Wema Sepetu ameweka wazi kuwa ana uwezo wa kuingiza sauti yake kwenye nyimbo za wasanii wengi ...
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili, Christina Shusho amefichua ana kipaji kingine zaidi ya cha uimbaji kinachojulikana na ...
MOJA ya vipaji vya soka inavyojivunia Tanzania ni cha kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Zidane Sereri kilichomfanya ajiunge na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results